Skip to content
  • 1:26 am
  • Tuesday
  • March 9, 2021
  • Home
  • Blog
  • Contact Us.

107.7 Pangani FM

Latest News
WASIMAMIZI WA UCHAGUZI PANGANI WAONYWA KUJIHUSISHA NA USHABIKI WA SIASA  |  
Wanawake Pangani waadhimisha siku ya Maombi.  |  
TANGA UWASA Kufufua Visima vya Maji Pangani.  |  
MARUFUKU KUTUMIA VITI VYA WANAFUNZI KWENYE MIKUTANO YA VIJIJI PANGANI.  |  
CHUMO LA WIKI  |  
KIJANA WA MIAKA 25 MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA KUMBAKA BINTI WA MIAKA 6.  |  
ZAIDI YA MILIONI 65 ZIMETOLEWA KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU PANGANI.  |  
IDADI KUBWA YA WACHEZAJI WA KIGENI YATAJWA KUDIDIMIZA SOKA LA PANGANI.  |  
VIJANA WATATU MIKONONI MWA POLISI KWA KOSA LA KUPIGA BARUTI PANGANI  |  
KIPUMBWI YAPOKEA KONTENA LA OFISI YA BANDARI.  |  
MCHAKATO WA UJENZI WA SOKO KUBWA LA SAMAKI KIPUMBWI WAANZA RASMI.  |  

Month: September 2020

UZIKWASA 2020 Newsletter

September 30, 2020September 30, 2020 Pangani FM

UZIKWASA-Newsletter-2020-FINAL-pdfDownload

Continue reading
Blog

PANGANI FM YAENDELEA KUWA KIDEDEA TUZO ZA UMAHIRI WA UANDISHI WA HABARI NCHINI (EJAT)

September 30, 2020 Pangani FM

Mwandishi wa Habari toka kituo cha Radio Pangani FM Rajabu Mustapha Mrope ametangazwa mshindi katika Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania EJAT kwa Mwaka 2019 katika kipengele cha Utalii. Mwandishi wa Habari wa ....

Continue reading
Blog

KWA KINA MAANA YA TABAKA OZONI NA NAMNA LINAVYOATHIRI MAISHA YETU.

September 25, 2020September 30, 2020 Pangani FM

Karibu kusikiliza Makala ya Nitunze Nikutunze. Makala hii huruka kila siku ya Ijumaa kuanzia saa 1 na Nusu Usiku kupitia Pangani FM ikiwa kwa lengo la kujadili Athari za Mabadiliko ya Tabia Nchi na kutafuta ....

Continue reading
Blog

WANAFUNZI 1379 WILAYANI PANGANI WANATARAJIA KUFANYA MTIHANI WA DARASA LA MWAKA 2020.

September 25, 2020 Pangani FM

Wazazi na walimu wilayani Pangani Mkoani Tanga wametakiwa kuwawezesha kimasomo wanafunzi wanaotarajiwa kufanya mitihani ya Darasa la saba mwezi Oktoba Mwaka huu ili kuongeza kiwango cha ufaulu. Akizungumza na Pangani FM ofisini kwake mkurugenzi wa ....

Continue reading
Blog

WANANCHI PANGANI WAASWA KUJIUNGA NA BIMA YA CHF

September 24, 2020 Pangani FM

Wananchi wilayani Pangani mkoani Tanga wameaswa kuwa na mwamko wa kujiunga  na bima ya afya ya jamii yaani CHF iliyoboreshwa ili kuwa na uhakika wa upatikanaji wa matibabu bora.  Hayo yamezungumzwa na Mganga Mfawidhi wa ....

Continue reading
Blog

HOSPITALI YA WILAYA PANGANI YAPOKEA MSAADA WA VIFAA TOKA KWA WATANZANIA WAISHIO UJERUMANI.

September 24, 2020September 24, 2020 Pangani FM

Hospitali ya Halmshauri ya Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga imepokea vifaa mbalimbali vya Hospitali kutoka kwa wazawa wa Pangani, watanzania na wadau mbalimbali wanaoishi nchini Ujerumani   ili kusaidia utoaji wa huduma bora kwa Wananchi. ....

Continue reading
Blog

WAMILIKI WA SILAHA ZA MOTO PANGANI KUPEWA MAFUNZO.

September 23, 2020September 23, 2020 Pangani FM

Wamiliki wa silaha za moto za kiraia pamoja na makampuni ya ulinzi wilayani pangani Mkoani Tanga wametakiwa kujitokeza katika ofisi za kata zao ili wapatiwe utaratibu wa namna ya kushiriki katika mafunzo ya umahiri juu ....

Continue reading
Blog

TAKUKURU PANGANI YAMUOKOA MWALIMU MSTAAFU NA KUMREJESHEA FEDHA TOKA KWENYE ‘MKOPO UMIZA’ WA RIBA YA 300%

September 10, 2020September 11, 2020 Pangani FM

Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Wilayani Pangani Mkoani Tanga imefanikiwa kurejesha kiasi cha Fedha shilingi milioni nne na Laki Nne (4,400,000/= ) kwa bwana Hatibu Fue Mkanza ambaye ni Mwalimu mstaafu, fedha ....

Continue reading
Blog

TAKUKURU YAFANIKIWA KUOKOA NA KUREJESHA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 12 ZA SACCOS YA VIJANA PANGANI.

September 10, 2020September 10, 2020 Pangani FM

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Pangani mkoani Tanga imefanikiwa kuokoa na kuwarejeshea fedha Wananchi kutoka kwenye uongozi wa zamani wa SACOSS ya UMOJA WA VIJANA PANGANI (UVIPASA). Fedha hizo ni Shilingi ....

Continue reading
Blog

WANANCHI MADANGA WALALAMIKIA UBOVU WA BARABARA YA MWEMBENI-BUSHIRI

September 8, 2020September 8, 2020 Pangani FM

Wananchi wa kijiji cha Madanga Wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelalamikia ubovu wa barabara kutoka eneo la Mwembeni Madanga hadi Bushiri hali inayopelekea mabasi ya abiria kutofika kijijini hapo na kuleta usumbufu kwa wananchi hao. Wakizungumza ....

Continue reading
Blog

Posts navigation

Older posts
Video Spot
https://www.youtube.com/watch?v=lM-UdMT3gw0&t=1s
https://youtu.be/uP2znvRsKN4
https://youtu.be/oexRD6rouFc
https://youtu.be/nFdBPMjdP7Y
Matokeo Ya Mechi.
March 7, 2021
Athletic Bilbao 2 - 1 Granada
Real Sociedad 1 - 0 Levante
Atlético de Madrid 1 - 1 Real Madrid
Huesca 3 - 4 Celta Vigo
March 6, 2021
Osasuna 0 - 2 Barcelona
Cádiz 1 - 0 Eibar
Elche 2 - 1 Sevilla
Real Valladolid 2 - 1 Getafe
March 5, 2021
Valencia 2 - 1 Villarreal
March 1, 2021
Real Madrid 1 - 1 Real Sociedad
Msimamo Kwenye Ligi
# Team P W D L F A G
1 Atlético de Madrid 59 18 5 2 48 17 +31
2 Barcelona 56 17 5 4 57 22 +35
3 Real Madrid 54 16 6 4 44 21 +23
4 Sevilla 48 15 3 7 35 20 +15
5 Real Sociedad 45 12 9 5 43 21 +22
6 Real Betis 39 12 3 10 33 38 -5
7 Villarreal 37 8 13 5 34 29 +5
8 Athletic Bilbao 33 9 6 10 36 29 +7
9 Celta Vigo 33 8 9 9 34 40 -6
10 Granada 33 9 6 11 32 44 -12
Next Fixture
January 17, 2021
Aston Villa 3:00 AM Everton
March 8, 2021
West Ham United 11:00 PM Leeds United
March 10, 2021
Manchester City 9:00 PM Southampton
March 12, 2021
Newcastle United 11:00 PM Aston Villa
March 13, 2021
Leeds United 3:30 PM Chelsea
Crystal Palace 6:00 PM West Bromwich Albion
Everton 8:30 PM Burnley
Fulham 11:00 PM Manchester City
March 14, 2021
Southampton 3:00 PM Brighton & Hov…
Leicester City 5:00 PM Sheffield United
Calendar
September 2020
M T W T F S S
 123456
78910111213
14151617181920
21222324252627
282930  
« Jul   Oct »
107.7 Pangani FM | © 2021